Mshambuliaji Alexis Sanchez anayelipwa Pauni 400,000 kwa wiki Manchester United akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 20 ikiilaza 2-0 Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jionji ya leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester, kufuatia kumpasia mshambuliaji mwenzake, Romelu Lukaku kufunga bao la kwanza dakika ya tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment