Mshambuliaji Alexis Sanchez anayelipwa Pauni 400,000 kwa wiki Manchester United akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 20 ikiilaza 2-0 Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jionji ya leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester, kufuatia kumpasia mshambuliaji mwenzake, Romelu Lukaku kufunga bao la kwanza dakika ya tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees star Aaron Judge greets wife Samantha with a kiss after she
finishes New York City Marathon
-
Yankees star Aaron Judge was all smiles on Sunday as he congratulated his
wife Samantha on finishing the New York City Marathon.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment