Angel Di Maria wa Argentina (kulia) akijaribu kumtoka mchezaji wa Italim anayecheza naye klabu moja, PSG ya Udaransa, Marco Verratti katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa jana Uwanja wa Etihad mjini Manchester. Argentina iliyomkosa Nahodha wake, Lionel Messi aliyekuwa jukwaani ilishinda 2-0, mabao ya Ever Banega dakika ya 75 na Manuel Lanzini dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment