Angel Di Maria wa Argentina (kulia) akijaribu kumtoka mchezaji wa Italim anayecheza naye klabu moja, PSG ya Udaransa, Marco Verratti katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa jana Uwanja wa Etihad mjini Manchester. Argentina iliyomkosa Nahodha wake, Lionel Messi aliyekuwa jukwaani ilishinda 2-0, mabao ya Ever Banega dakika ya 75 na Manuel Lanzini dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Umahi: Tinubu spends ₦445.8bn on South East superhighway
-
From Isaac Anumihe, Abuja The Minister of Works, David Umahi, has directed
all regional directors of the Federal Ministry of Works to compile a
comprehen...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment