Angel Di Maria wa Argentina (kulia) akijaribu kumtoka mchezaji wa Italim anayecheza naye klabu moja, PSG ya Udaransa, Marco Verratti katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa jana Uwanja wa Etihad mjini Manchester. Argentina iliyomkosa Nahodha wake, Lionel Messi aliyekuwa jukwaani ilishinda 2-0, mabao ya Ever Banega dakika ya 75 na Manuel Lanzini dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Yankees star Aaron Judge greets wife Samantha with a kiss after she
finishes New York City Marathon
-
Yankees star Aaron Judge was all smiles on Sunday as he congratulated his
wife Samantha on finishing the New York City Marathon.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment