Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akijinyoosha kwenye mazoezi ya timu yake ya taifa jana kujiandaa na mchezo wa leo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Uholanzi Uwanja wa Geneva nchini Uswisi baada ya Ijumaa kufunga mabao mawili ndani ya dakika mbili za mwisho timu yake ikitoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya Misri PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Finals set for Game 7 as Indiana Pacers blow Oklahoma City Thunder away
to level the series
-
The NBA Finals will have a nerve-shredding conclusion on Sunday after the
Indiana Pacers dominated the Oklahoma City Thunder on Thursday night to
level the...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment