Sergio Ramos (kushoto) akimpongeza mchezaji mwenzake wa Real Madrid, Isco baada ya kuifungia Hispania mabao matatu dakika za 27, 52 na 74 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Diego Costa dakika ya 12, Thiago Alcantara dakika ya 55 na Iago Aspas dakika ya 73, wakati la Argentina iliyomkosa nyoa wake, Lionel Messi wa Barcelona anayesumbuliwa na maumivu ya nyama za paja lilifungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City 2-0 Wydad AC: Phil Foden and Jeremy Doku on the scoresheet
as Pep Guardiola's side ease to victory despite Rico Lewis red card to
begin Club World Cup title defence
-
JACK GAUGHAN AT AT LINCOLN FINANCIAL FIELD: Pep Guardiola used a dinner on
the beach in Florida to impress on Manchester City's players that this is a
new ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment