Sergio Ramos (kushoto) akimpongeza mchezaji mwenzake wa Real Madrid, Isco baada ya kuifungia Hispania mabao matatu dakika za 27, 52 na 74 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid. Mabao mengine ya Hispania yalifungwa na Diego Costa dakika ya 12, Thiago Alcantara dakika ya 55 na Iago Aspas dakika ya 73, wakati la Argentina iliyomkosa nyoa wake, Lionel Messi wa Barcelona anayesumbuliwa na maumivu ya nyama za paja lilifungwa na Nicolas Otamendi dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Cristiano Ronaldo opens up on how his daughters convinced him to propose to 
fiancee Georgina Rodriguez - with £1.5m ring - as he reveals details of 
'not romantic' proposal for the first time
                      -
                    
The superstar couple sent supporters wild back in August when they 
announced their engagement after some nine years together.
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment