Robert Lewandowski akishangilia baada ya kufunga mabao matatu Bayern Munich dakika za tano, 44 na 87 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Borussia Dortmund leo kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja  wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na James Rodriguez dakika ya 14, Thomas Muller dakika ya 23 na Franck Ribery dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment