Robert Lewandowski akishangilia baada ya kufunga mabao matatu Bayern Munich dakika za tano, 44 na 87 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Borussia Dortmund leo kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na James Rodriguez dakika ya 14, Thomas Muller dakika ya 23 na Franck Ribery dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Google agrees to curb power use for AI data centers to ease strain on US
grid when demand surges
-
NEW YORK, August 4 (Reuters) -Google has signed agreements with two U.S.
electric utilities to reduce its AI data center power consumption during
times of ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment