Kocha wa timu ya taifa ya England, Gareth Southgate akizungumza na mshambuliaji Harry Kane, ambaye yuko nje ya kikosi kwa sababu ya maumivu ya mguu. Lakini jana wakati anazungumza na Southgate kwenye mazoezi ya Three Lions jana viwanja vya Enfield, ikijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Italia kesho, Kane hakuwa na magongo ya kutembelea kuashiria amepata ahueni ya maumivu yake aliyoyapata mapema mwezi huu katika mchezo na Bournemouth na kutakiwa kuwa nje kwa wiki sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brock Lesnar makes controversial return to WWE after two years in exile to
confront John Cena at SummerSlam
-
After two years in exile due to his alleged involvement in the Vince
McMahon lawsuit, Brock Lesnar returned to WWE programming at SummerSlam to
confront Jo...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment