Kocha wa timu ya taifa ya England, Gareth Southgate akizungumza na mshambuliaji Harry Kane, ambaye yuko nje ya kikosi kwa sababu ya maumivu ya mguu. Lakini jana wakati anazungumza na Southgate kwenye mazoezi ya Three Lions jana viwanja vya Enfield, ikijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Italia kesho, Kane hakuwa na magongo ya kutembelea kuashiria amepata ahueni ya maumivu yake aliyoyapata mapema mwezi huu katika mchezo na Bournemouth na kutakiwa kuwa nje kwa wiki sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Hockey coach is fired for posing with man dressed as a Nazi at Halloween 
party that sparked fury
                      -
                    
Jessie Rudin, a former Bulldogs player who later joined the coaching staff, 
was seen smiling alongside the man - identified as Donnie Gardner - as he 
perfo...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment