Mshambuliaji wa Hispania, Diego Costa akijaribu kuurukia mpira dhidi ya mabeki wa Ujrumani kwenye boksi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa ESPRIT arena mjini Dusseldorf, Ujerumani. Timu hizo zilifungana 1-1, Rodrigo akianza kuifungia Hispania dakika ya sita kabla ya Thomas Muller kuisawazishia Ujerumani dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
As Israel strikes Iran, many wonder if the US will deepen its involvement
-
As Israeli strikes kill top Iranian generals, take out air defenses and
damage nuclear sites, many wonder if President Donald Trump will deepen
U.S. involv...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment