Mshambuliaji wa Hispania, Diego Costa akijaribu kuurukia mpira dhidi ya mabeki wa Ujrumani kwenye boksi katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku wa jana Uwanja wa ESPRIT arena mjini Dusseldorf, Ujerumani. Timu hizo zilifungana 1-1, Rodrigo akianza kuifungia Hispania dakika ya sita kabla ya Thomas Muller kuisawazishia Ujerumani dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why Liverpool don't need Alexander Isak, 16-year-old is ready for
first-team NOW - and young star must leave: THINGS WE LEARNED from
Liverpool's double-header with Athletic Bilbao
-
Liverpool rounded off pre-season in style with a 7-3 aggregate win across
two games against Athletic Club at Anfield. Our reporter NATHAN SALT came
up with...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment