Mshambuliaji mkongwe wa Sweden, mwenye umri wa miaka 36, Zlatan Ibrahimovic akifurahia kwenye mazoezi ya LA Galaxy jana baada ya kujiunga nayo rasmi kutoka Manchester United ya England kwa kusaini mkataba wa miezi 18. Ibra anaweza kuanza kucheza Ligi ya Marekani, MLS leo dhidi ya mahasimu wa Los Angeles, LAFC PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Pickford reveals the unusual sport he would 'love' to take part in
but is BANNED from due to his footballing career
-
Pickford remains a regular at club level for Everton, where he has played
every Premier League game this season. He has one eye on the summer,
however, whe...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment