Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia bao pekee la ushindi Liverpool dakika ya 23 akimalizia pasi ya Roberto Firmino ikiilaza 1-0 Brighton & Hove Albion katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Hilo linakuwa bao la 29 katika mechi 29 alizocheza Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Tottenham: Live score, team news and updates as Son Heung-min
waves goodbye after a decade in north London in a pre-season friendly
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Newcastle take on Tottenham at the Seoul World Cup Stadium in a
pre-season fr...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment