Kiungo Mnyarwanda wa klabu ya Simba, Haruna Niyonzima (katikati) akiwa na wachezaji wenzake wa klabu yake ya zamani, Yanga SC leo mjini Kigali, Rwanda. Wengine kulia ni Matheo Anthony na Deus Kaseke na kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu, Omar Kaata na Ibrahim Ajib. Picha hii ilipigwa baada ya mechi kati ya Yanga na wenyeji, Rayon Sport Uwanja wa Nyamirambo, ambayo pia ni klabu nyingine ya zamani ya Niyonzima.
Three things we learned from Chelsea draw as tactical tweak unlocks new
blueprint
-
A juggling act on the wing produced a far better team performance against
Liverpool
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment