Mshambuliaji wa Simba SC, Meddie Kagere akimtoka beki wa Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 2-0
Nahodha wa Simba SC, John Bocco (kushoto) akimtoka beki wa Mbeya City
Kiungo wa Simba SC, Hassan Dilunga akimchenga mchezaji wa Mbeya City
Kikosi cha Mbeya City katika mchezo wa jana
Kikosi cha Simba SC katika mchezo wa jana
India beat South Africa for historic first World Cup win
-
Shafali Verma scores 87 and Deepti Sharma takes five wickets as India make
history, beating South Africa by 52 runs for their first World Cup title in
Navi...
9 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment