Odion Ighalo akishangilia baada ya kuifungia Manchester United mabao mawili dakika za 41 na 70 kufuatia Luke Shaw kufunga la kwanza dakika ya 33 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Derby County kwenye mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Pride Park hivyo kutinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former college and NFL coach Derek Dooley joins Senate race in Georgia
-
A former college and NFL coach has announced a shock move into politics as
he joined the Senate race in Georgia. He was previously the head coach of
the Un...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment