TIMU ya taifa ya wasichana chini ya umri wa miaka 17 jioni ya leo imefungwa mabao 5-0 na wenyeji, Uganda kwenye mchezo wa marudiano kufuzu Fainali za Kombe la Dunia Uwanja wa Lugogo Jijini Kampala hivyo kutolewa kwa jumla ya mabao 6-2 kufuatia kushinda 2-1 kwenye mechi ya kwanza Machi 1 nyumbani, Dar es Salaam.
Kwande leaders endorse Tinubu for 2027, applaud Akume’s developmental
strides
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja A high-powered delegation from Kwande
Local Government Area (LGA) of Benue State has declared unwavering support
for P...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment