Real Madrid imepoteza nafasi ya kurudi kileleni katika La Liga baada ya kuchapwa 2-1 Real Betis usiku wa jana Uwanja wa Benito Villamarin, Sevilla. Mabao ya Real Betis yalifungwa na Sidnei Rechel da Silva Junior dakika ya 40 na Cristian Tello dakika ya 82, wakati bao pekee la Real Madrid limefungwa na Karim Benzema dakika ya 45 na ushei kwa penalti. Sasa Real Madrid inazidiwa pointi mbili na Barcelona (58-56) katika msimamo wa La Liga PICHA ZADI GONGA HAPA
Revealed: What Tottenham star Djed Spence REALLY said to manager Thomas
Frank is uncovered by expert lip-reader in furious spat after defeat by
Chelsea
-
Spence and Micky van de Ven stole the headlines when they blanked Frank,
refusing his handshake and leaving him alone on the turf. A worrying sign,
as Oliv...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment