MSHAMBULIAJI CHIPUKIZI MTANZANIA ASAINI MKATABA WA KUJIUNGA NA NYASA BIG BULLETS YA MALAWI
Mshambuliaji chipukizi Mtanzania, Meshack Suleiman mwenye umri wa miaka 22 akisaini mkataba wa kujiunga na klabu ya Nyasa Big Bullets, zamani Bata Bullets Jijini Blantyre baada ya kuachana na Karonga United, zote za Ligi Kuu ya Malawi
0 comments:
Post a Comment