RAIS DK JOHN POMBE MAGUFULI ALIVYOSHUHUDIA YANGA SC WAKIWAADHIBU WATANI WAO, SIMBA SC JANA TAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa. Dk. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono mashabiki wa soka waliohudhuria mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya Yanga SC na Simba jana Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 1-0 bao pekee la kiungo mshambuliaji Mghana, Barnard Morrison dakika ya 44.
Rais Dk. John Pombe Magufuli akifurahia burudani ya pambano la watani wa jadi jana
Rais Dk. John Pombe Magufuli akifuatilia kwa makini pambano la watani wa jadi jana
Mashabiki wa Yanga wakiwa wamebeba bango la kumshukuru Rais Dk. John Pombe Magufuli jana
Mashabiki wa Yanga wakimfurahia Rais Dk. John Pombe Magufuli jana
Item Reviewed: RAIS DK JOHN POMBE MAGUFULI ALIVYOSHUHUDIA YANGA SC WAKIWAADHIBU WATANI WAO, SIMBA SC JANA TAIFA
Rating: 5
Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
SGF, lawmaker back president’s second term
-
From Godwin Tsa, Abuja The Secretary to the Government of the Federation
(SGF) Senator George Akume, has called on the people state to support
President ...
0 comments:
Post a Comment