Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva akcheza kwenye bwawa la kuogelea nchini Morocco ambako anachezea klabu ya Difaa Hassan El-Jadidi pamoja na Mtanzania mwenzake, beki Nickson Kibabage. Kwa sasa Ligi karibu zote duniani zimesimamishwa kufuatia mlipuko wa virusi vya corona na wachezaji wote wamepumzika nyumbani kwao
California could slash 5 GOP US House seats, as Texas moves at Trump's
urging to pad GOP margin
-
California Democrats are considering new political maps that could slash
five Republican-held House seats in the liberal-leaning state while
bolstering Dem...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment