Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi kwa pasi nzuri ya beki Mholanzi, Virgil van Dijk dakika ya 33 ikiwalaza 2-1 AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bournemouth ilitangulia kwa bao la Callum Wilson akimalizia pasi ya Jefferson Lerma dakika ya tisa kabla ya Mohamed Salah kuisawazishia Liverpool dakika ya 25 kwa pas ya Mane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
  
Jake Paul's fight with Gervonta 'Tank' Davis cancelled amid domestic 
violence lawsuit
                      -
                    
Paul's 'Most Valuable Promotions' confirmed on Monday night that they are 
instead planning for the YouTuber-turned-boxer to headline another event on 
Nextf...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment