AZAM FC TAYARI WAPO TANGA KWA MPANGO WA KUBEBA NGAO
KIKOSI cha Azam FC kimewasili Jijini Tanga jioni ya leo kwa ajili ya michuano ya timu nne ya Ngao ya Jami inayotarajiwa kuanza keshokutwa Uwanja wa Mkwakwani wao wakifungua dimba na mabingwa watetezi, Yanga SC. VIDEO: AZAM FC WALIVYOWASILI TANGA LEO
0 comments:
Post a Comment