KIUNGO Andres Iniesta na wachezaji wenzake wa Hispania wamewasili Brazil tayari kutetea Kombe la Dunia.
Iniesta - shujaa wa bao la ushindi katika fainali ya mwaka 2010 alikuwa na wenzake akiwemo Diego Costa a nyota wengine kama Sergio Ramos na Gerard Pique wakati kikosi cha Hispania kinatua Uwanja wa ndege wa Alfonso Pena.
Baada ya mapokezi mazuri, mabingwa hao wa dunia walipelekwa mjini Curitiba, ambako itakuwa kambi ya Hispania kwa ajili ya michuano hiyo inayoanza Alhamisi.



.png)
0 comments:
Post a Comment