Ruka juu: Mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller akiruka juu kupiga ngumi hewani baada ya kuifungia bao pekee timu yake ikishinda 1-0 dhidi ya Marekani katika mchezo wa Kundi G Kombe la Dunia nchini Brazil. Hata hivyo, timu zote Ujerumani na Marekani zimefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano hiyo. Ujerumani imemaliza na pointi saba, Marekani pointi nne sawa na Ureno, lakini imefuzu kwa wastani wake mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa, huku Ghana ikishinda mkia kwenye kundi hilo kwa pointi yake moja.
Travis Kelce goads Bills fans as he walks into locker room hurt from a
massive hit by rival
-
The Kansas City Chiefs tight end left the field a few seconds before his
teammates and the halftime interval on Sunday, having taken a brutal hit to
the ch...
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment