Mtokea benchi babu kubwa: Divock Origi kulia akipongezwa na mchezaji mwenzake, Kevin Mirallas baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee la ushindi dhidi ya Urusi katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia. Ubelgiji inafuzu 16 Bora ya michuano hiyo inayoendelea Brazil kwa kufikisha pointi sita baada ya mechi mbili. Nafasi ya pili ya kufuzu kutoka kundi hilo bado iko wazi kwa timu nyingine zote tatu, Algeria, Jamhuri ya Korea zitakazomenyana baadaye na Urusi. Urusi na Korea zina pointi moja kila moja, wakati Algeria haina pointi.
Namewee to be remanded over Taiwanese influencer Iris Hsieh’s death; Taiwan
seizes US$150m, detains 25 in Prince Group scam probe: SIngapore live news
-
Namewee wanted in Taiwan influencer Iris Hsieh’s death reclassified murder.
Taiwan seizes US$150 million Prince Group assets, 25 held in scam probe
tied to...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment