Mtokea benchi babu kubwa: Divock Origi kulia akipongezwa na mchezaji mwenzake, Kevin Mirallas baada ya kuifungia Ubelgiji bao pekee la ushindi dhidi ya Urusi katika mchezo wa Kundi H Kombe la Dunia. Ubelgiji inafuzu 16 Bora ya michuano hiyo inayoendelea Brazil kwa kufikisha pointi sita baada ya mechi mbili. Nafasi ya pili ya kufuzu kutoka kundi hilo bado iko wazi kwa timu nyingine zote tatu, Algeria, Jamhuri ya Korea zitakazomenyana baadaye na Urusi. Urusi na Korea zina pointi moja kila moja, wakati Algeria haina pointi.
Newcastle vs Tottenham: Live score, team news and updates as Son Heung-min
waves goodbye after a decade in north London in a pre-season friendly
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest score, team news and updates
as Newcastle take on Tottenham at the Seoul World Cup Stadium in a
pre-season fr...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment