Nibusu haraka: Mshambuliaji wa Uswisi, Xherdan Shaqiri (kulia) akibusu camera baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Honduras mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia. Uswisi imeungana na Ufaransa kufuzu hatua ya 16 Bora kutoka kundi hilo ikimaliza na pointi sita, wakizidiwa moja tu na vinara wa kundi hilo, ambao nao wametoka sare ya 0-0 na Ecuador usiku wa kuamkia leo. Uswisi sasa itamenyana na Argentina.
Patrick Mahomes wipes out cameraman with pass Travis Kelce failed to catch
in Chiefs' loss to Bills
-
An errant throw from Patrick Mahomes during Sunday's loss to the Buffalo
Bills bounced into a cameraman squatting in the end zone, and the result
was under...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment