Nibusu haraka: Mshambuliaji wa Uswisi, Xherdan Shaqiri (kulia) akibusu camera baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Honduras mchezo wa Kundi E Kombe la Dunia. Uswisi imeungana na Ufaransa kufuzu hatua ya 16 Bora kutoka kundi hilo ikimaliza na pointi sita, wakizidiwa moja tu na vinara wa kundi hilo, ambao nao wametoka sare ya 0-0 na Ecuador usiku wa kuamkia leo. Uswisi sasa itamenyana na Argentina.
You know who loves the Epstein scandal? President-in-waiting JD Vance. |
Opinion
-
As the Jeffrey Epstein scandal engulfs President Donald Trump, I suspect
president-in-waiting JD Vance is secretly smiling.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment