![]() |
Mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Ngassa kulia akimtoka beki wa Kagera Sugar, Job Ibrahim katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-1. |
![]() |
Mshambuliaji wa Yanga SC, Kpah Sherman akimtoka beki wa Kagera Sugar |
![]() |
Mshambuliaji wa Yanga SC, Hussein Javu akimtoka beki wa Kagera Sugar, Benjamin Asukile |
![]() |
Kiungo wa Kagera Sugar, George Kavilla kulia akimgeuza winga wa Yanga SC, Simon Msuva jana |
![]() |
Kiungo wa Yanga SC, Hassan Dilunga katikati ya wachezaji wa Kagera Sugar jana |
![]() |
Mshambuliaji wa Yanga SC, Amisi Tambwe aakimfunga 'behewa' beki wa Kagera Sugar, Eric Kyaruzi |
0 comments:
Post a Comment