Beki Mbrazil, David Luiz (kulia) akimkanyaga mchezaji wa Argentina, Lucas Biglia jana katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Amerika Kusini alfajiri ya leo. Luiz alitolewa kwa kadi nyekundu na timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la wenyeji Argentina likifungwa na Ezequiel Lavezzi wakati la Brazil limefungwa na Lucas Lima PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Typhoon heads for Vietnam after 114 killed in the Philippines
-
Kalmaegi, one of the strongest typhoons this year, has gained strength as
it barrels toward central Vietnam.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment