Beki Mbrazil, David Luiz (kulia) akimkanyaga mchezaji wa Argentina, Lucas Biglia jana katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia Amerika Kusini alfajiri ya leo. Luiz alitolewa kwa kadi nyekundu na timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la wenyeji Argentina likifungwa na Ezequiel Lavezzi wakati la Brazil limefungwa na Lucas Lima PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Winning the Ashes would be Stokes' greatest miracle'
-
Winning the Ashes for England in Australia this winter would be Ben Stokes'
greatest miracle, says chief cricket reporter Stephan Shemilt.
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment