Kipa wa England, Joe Hart akishuhudia mpira ukimpita kwenda nyavuni baada ya kupigwa na Juan Mata (kulia) kuifungia Hispania bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 usiku wa jana katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa mjini Alicante. Bao lingine la Hispania lilifungwa na Santi Cazorla PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump says he ‘didn’t know’ about Ghislaine Maxwell transfer from prison to
Texas Club Fed: ‘I read about it just like you’
-
Maxwell remains in prison on a 20-year sentence for crimes committed with
Jeffrey Epstein
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment