Mshambuliaji Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool hat-trick katika ushindi wa 6-1 Southampton kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi jana Uwanja wa St Mary's. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Daniel Sturridge mawili na Jordon Ibe moja, wakati la Southampton lilifungwa na Sadio Mane. Liverpool sasa itamenyana na Stoke City katika Nusu Fainali, wakati Everton itamenyana na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Winning the Ashes would be Stokes' greatest miracle'
-
Winning the Ashes for England in Australia this winter would be Ben Stokes'
greatest miracle, says chief cricket reporter Stephan Shemilt.
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment