![]()  | 
| Mshambuliaji wa Yanga SC, Mrundi Amissi Tambwe akitoka kwenye gari lake aina ya Toyota Land Cruiser kuelekea mazoezini leo asubuhi. | 
![]()  | 
| Hili ndilo gari la Tambwe, ambalo amesema limemgharimu dola za Kimarekani 23,500 (zaidi ya Sh. Milioni 47 za Tanzania) | 
![]()  | 
| Amissi Tambwe hapa anaelekea kwenye gari lake baada ya mazoezi tayari kurejea anapoishi | 
![]()  | 
| Tambwe anaonekana anafurahia maisha ndani ya klabu ya Yanga SC, aliyojiunga nayo misimu miwili iliyopita kutoka kwa mahasimu, Simba SC | 






.png)
0 comments:
Post a Comment