Mbunge wa jimbo Busega, Simiyu, Raphael Chegeni (kushoto) akimkabidhi beki wa kushoto wa Simba SC, Mohamed Hussein 'Tshabalala' (kulia) tuzo ya Mchezaji Bora wa mwezi Oktoba wa klabu hiyo juzi mjini Mwanza baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Toto Africans Uwanja wa CCM Kirumba. Tuzo hiyo huambatana na kitita cha Sh. 500,000.
Where to watch Dallas Wings vs. Indiana Fever: Live stream, start time, TV
channel for Saturday, May 9
-
Caitlin Clark and the Fever open the season against the Wings.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment