Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akipongezwa na wachezaji wenzake usiku huu baada ya kufunga akiichezea mechi ya 500 timu hiyo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Real Betis kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nou Camp. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez mawili na Heiko Westermann aliyeuwahi mpira uliogonga mwamba na kurudi uwanjani baada ya mkwaju wa penalti wa Neymar, ambaye pia alifunga PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment