Kiungo Yannick Carrasco akimpiga busu mpenzi wake, mwanamitindo na Miss Ubelgiji, Noemie Happart baada ya kuifungia bao la kusawazisha Atletico Madrid katika sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 dhidi ya mahasimu, Real Madrid kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa San Siro. Hata hivyo, Atletico walifungwa kwa penalti 5-3
New Zealand's Finance Minister eyes stronger regional ties in face of
US-China trade war
-
By Andrea Shalal WASHINGTON (Reuters) -New Zealand Finance Minister Nicola
Willis said regional and bilateral trading relationships will continue to
streng...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment