Kiungo Yannick Carrasco akimpiga busu mpenzi wake, mwanamitindo na Miss Ubelgiji, Noemie Happart baada ya kuifungia bao la kusawazisha Atletico Madrid katika sare ya 1-1 ndani ya dakika 120 dhidi ya mahasimu, Real Madrid kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa San Siro. Hata hivyo, Atletico walifungwa kwa penalti 5-3
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment