Beki wa Bosnia-Herzegovina, Emier Spahic akimpa mkono wa uso kiungo wa Hispania Cesc Fabregas wakati wa mchezo wa kirafiki wa kimataifa baina ya timu hizo usiku wa Jumapili nchini Uswisi. Spahic alitolewa kwa kadi nyekundu Hispania ikiilaza Bosni 3-1. Mabao ya Hispania yamefungwa na Nolito mawili na lingine Pedro wakati la Bosnia limefungwa na Spahic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City can't just rely on Haaland - Guardiola
-
Manchester City boss Pep Guardiola says his side can't just rely on
"key-man" Erling Haaland after he scored twice in five second-half minutes
to beat Ever...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment