Michal Duris akishangilia baada ya kuifungia Slovakia bao la pili kwa kichwa akimalizia krosi ya Vladimir Weiss katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Ujerumani Jumapili Uwanja wa WWK Arena mjini Augsburg. Mabao mengine ya Slovakia yamefungwa na Marek Hamsik na Juraj Kucka, wakati la wenyeji limefungwa na Mario Gomez kwa penalti katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three things we learned from Chelsea draw as tactical tweak unlocks new
blueprint
-
A juggling act on the wing produced a far better team performance against
Liverpool
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment