Michal Duris akishangilia baada ya kuifungia Slovakia bao la pili kwa kichwa akimalizia krosi ya Vladimir Weiss katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Ujerumani Jumapili Uwanja wa WWK Arena mjini Augsburg. Mabao mengine ya Slovakia yamefungwa na Marek Hamsik na Juraj Kucka, wakati la wenyeji limefungwa na Mario Gomez kwa penalti katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New Zealand's Finance Minister eyes stronger regional ties in face of
US-China trade war
-
By Andrea Shalal WASHINGTON (Reuters) -New Zealand Finance Minister Nicola
Willis said regional and bilateral trading relationships will continue to
streng...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment