Kinda Cameron Borthwick-Jackson akisaini Mkataba wa miaka minne kuendelea kuichezea Manchester United hadi mwaka 2020 kufuatia mwanzo mzuri msimu huu baada ya kupandishwa kutoka timu ya vijana. Makinda wengine waliosainishwa ni pamoja na Marcus Rashford hadi mwaka 2020 pia, wakilipwa Pauni 25,000 kwa wiki kutoka Pauni 1,500 kwa wiki na wote wanasaini siku mbili baada ya Mreno, Jose Mourinho kutangazwa kuwa kocha mpya wa klabu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
New Zealand's Finance Minister eyes stronger regional ties in face of
US-China trade war
-
By Andrea Shalal WASHINGTON (Reuters) -New Zealand Finance Minister Nicola
Willis said regional and bilateral trading relationships will continue to
streng...
2 hours ago
0 comments:
Post a Comment