Nyota wa Bayern Munich, Robert Lewandowski akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za nane na 90 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji Mainz jana usiku kwenye mchezo wa Bundesliga. Bao lingine la Bayern Munich lilifungwa na Arjen Robben dakika ya 21, wakati la wenyeji lilifungwa na Jhon Cordoba dakika ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Florian Wirtz is a 'problem' for Liverpool who 'looked like a little
boy' during Man City defeat, says Gary Neville - and insists Reds' £116m
summer signing has to 'stand up soon'
-
Liverpool's £116m summer signing Florian Wirtz has been labelled as a 'real
worry' and a 'problem' by Gary Neville as the fallout of their abject 3-0
defea...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment