Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford (kushoto) akipongezwa na mchezaji mwenzake, Antonio Valencia baada ya kuifungia bao pekee timu yake katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Celta Vigo dakika ya 67 kwa shuti la moja kwa moja la mpira wa adhabu katika Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA Europa League usiku huu Uwanja wa Balaidos, Vigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lando Norris edges closer to becoming F1 world champion with dominant win
in Brazil - with rival Oscar Piastri finishing only fifth
-
JONATHAN McEVOY IN SAO PAULO: We said this weekend that the Interlagos
track is like no other - Silverstone is the next best on the calendar - and
it is a ...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment