Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford (kushoto) akipongezwa na mchezaji mwenzake, Antonio Valencia baada ya kuifungia bao pekee timu yake katika ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Celta Vigo dakika ya 67 kwa shuti la moja kwa moja la mpira wa adhabu katika Nusu Fainali ya kwanza ya UEFA Europa League usiku huu Uwanja wa Balaidos, Vigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Diamondbacks star Ketel Marte cries on the field after fan mocked his dead
mother
-
Two-time National League All-Star Ketel Marte was left in tears on Tuesday
night in Chicago after a White Sox fan allegedly mocked the Arizona
Diamondbacks...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment