Denis Glushakov wa Urusi akipambana katikati ya mabeki wa New Zealand kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 31 akimlazimisha Michael Boxall kujifunga katika mechi ya Kundi A michuano ya Kombe Mabara jana Uwanja wa Krestovskyi mjini St. Petersburg. Bao lingine la wenyeji, Urusi lilifungwa na Fyodor Smolov dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Give him time! Danilo urges Ibrox fans to be patient with £8m signing
Chermiti
-
DANILO has called for Rangers fans to be patient with Youssef Chermiti as
the Portuguese forward's Ibrox struggles continue.
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment