Mshambuliaji Msenegal, Sadio Mane akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza leo dakika ya saba katika mchezo wa kirafiki wa Nusu Fainali Kombe la Audi dhidi ya wenyeji, Bayern Munich Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Mohamed Salah dakika ya 34 na Daniel Sturridge dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jaxson Dart high-fives ref and dismantles the Super Bowl-champion Eagles to
prove he's the NFL's newest superstar
-
Rookie QB Jaxson Dart survived an injury scare to lead the New York Giants
to an upset win over the rival Philadelphia Eagles on Thursday night, and
even s...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment