Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Rashid Mfaume Kawawa (sasa marehemu) akipeana mkono na Nahodha wa Maji Maji ya Songea, Omar Kapilima (kulia) kabla ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika (sasa Ligi ya Mabingwa) dhidi ya Al Ahly ya Misri Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam mapema mwaka 1999. Maji Maji ilifungwa 3-0.
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment