Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Rashid Mfaume Kawawa (sasa marehemu) akipeana mkono na Nahodha wa Maji Maji ya Songea, Omar Kapilima (kulia) kabla ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika (sasa Ligi ya Mabingwa) dhidi ya Al Ahly ya Misri Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam mapema mwaka 1999. Maji Maji ilifungwa 3-0.
World Cup winner Bern sets 'bigger, better, faster, stronger' goals
-
England and Bristol prop Sarah Bern on her aim to get "bigger, better,
faster, stronger" this season for the PWR club.
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment