Mshambuliaji Lionel Messi akifumua shuti kwa guu la kushoto kumfunga kipa wa Alaves, Fernando Pacheco kuipatia Barcelona bao la kwanza dakika ya 55 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Mendizorroza mjini Vitoria-Gasteiz leo, bao la pili akifunga Muargentina huyo dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star NFL rookie reveals surprising way he plans to spend his
record-breaking $53m first contract
-
The highly-rated Love was selected No. 3 overall by the Cardinals out of
Notre Dame in last month's NFL Draft and on Friday he formally signed his
four-yea...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment