Gylfi Sigurdsson akishangilia na Aaron Lennon baada ya kuifungia bao zuri la kusawazisha Everton dakika ya 46 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Hajduk Split Uwanja wa Poljud jana mjini Split nchini Croatia. Bao la Hajduk Split lilifungwa na Josip Radosevic dakika ya 43 na kwa matokeo hayo, Everton inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kushinda 2-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump open to shifting US troops from Germany to Poland
-
Will US troops withdrawn from Germany be moved to Poland? When asked, US
President Donald Trump said Warsaw favours the idea, and it is
feasible.View on eu...
12 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment