Gylfi Sigurdsson akishangilia na Aaron Lennon baada ya kuifungia bao zuri la kusawazisha Everton dakika ya 46 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Hajduk Split Uwanja wa Poljud jana mjini Split nchini Croatia. Bao la Hajduk Split lilifungwa na Josip Radosevic dakika ya 43 na kwa matokeo hayo, Everton inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 3-1 baada ya wiki iliyopita kushinda 2-0 nyumbani PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Excavator brings down building in controlled demolition
                      -
                    
On October 29, 2025, in Sichuan, China, a video captured an excavator 
drilling into a building as it was demolished. Water was sprayed to 
suppress dust, cr...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment