Mwanasoka Bora wa Ulaya na Dunia, Cristiano Ronaldo akiinua juu taji la Super Cup ya Ulaya kusherehekea pamoja na Kombe la La Liga walilotwaa msimu uliopita baada ya kukabidhiwa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu kufuatia mchezo dhidi ya Valencia uliomalizika kwa sare ya 2-2. Wengine ni Sergio Ramos (kulia) na taji la la Liga na Marcello na aliyebeba Kombe la Mfalme. Real pia ni mabingwa wa dunia PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
What time should Bonfire Night fireworks end before you can make a 
complaint?
                      -
                    
As Britons prepare to celebrate Bonfire Night on 5 November, here are some 
key rules on using fireworks in the UK.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment