Wachezaji wa Liverpool wakimpongeza mwenzao, Sadio Mane baada ya kufunga bao la pili dakika ya 40 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Arsenal leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Roberto Firmino dakika ya 17, Mohamed 'Mo' Salah dakika ya 57 na Daniel Sturridge dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL star Deebo Samuel left fuming after interviewer spills secret live on
air in painful exchange
-
NFL Network's Garafolo was left red-faced at the end of an interview with
Samuel on 'Inside Training Camp Live' earlier this week. 'Alright, edit
that part...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment