Bondia Mmarekani, Floyd Mayweather Jr. akimtandika ngumi ya kidevu Conor McGregor wa Ireland katika pambano la kuwania ubingwa wa WBC uzito wa Super Welter asubuhi hii ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani. Mayweather ameshinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya 10 na kuweka rekodi ya kupigana mapambano 50 bila kupoteza. Mayweather alianza kwa kumsoma mpinzani wake na kumuachia atawale raundi tatu za mwanzo, lakini baada ya hapo akaanza kumchapa mfululizo hadi mwisho kama yuko mazoezini anapiga begi  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
Cristiano Ronaldo opens up on how his daughters convinced him to propose to 
fiancee Georgina Rodriguez - with £1.5m ring - as he reveals details of 
'not romantic' proposal for the first time
                      -
                    
The superstar couple sent supporters wild back in August when they 
announced their engagement after some nine years together.
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment