Waliokuwa wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys, Ally Ng’anzi (kushoto), Yohana Oscar Nkomola (kulia) na Erick Nkosi (katikati) katika fainali za U-17 Afrika nchini Gabon Mei mwaka huu, wakiwa kwenye Uwanja wa mazoezi wa akademi ya Etoile du Sahel mjini Sousse nchini Tunisia ambako wanaendelea na majaribio kwa kujiunga na timu ya vijana ya klabu hiyo 
Jake Paul's fight with Gervonta 'Tank' Davis cancelled amid domestic 
violence lawsuit
                      -
                    
Paul's 'Most Valuable Promotions' confirmed on Monday night that they are 
instead planning for the YouTuber-turned-boxer to headline another event on 
Netfl...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment