Nyota wa Arsenal, Alexis Sanchez akifanya mazoezi kwa bidii baada ya kujiunga na timu yake hiyo leo kufuatia mapumziko marefu zaidi aliyopewa tofauti na wenzake baada ya kuwa amekwenda kuiongoza timu yake ya taifa, Chile kwenye michuano ya Kombe la Mabara Juni mwaka huu, ambako ilishika nafasi ya pili baada ya kufungwa 1-0 na Ujerumani katika fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mbah to defect to our party Tuesday, says APC
-
From Romanus Ugwu, Abuja The national leadership of the All Progressives
Congress (APC), has confirmed that the Enugu State governor, Peter Mbah,
will of...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment