Karim Benzema akishangilia mbele ya mashabiki wa Real Madrid baada ya kufunga bao lake la kwanza dakika ya 11 kati ya mawili, lingine dakika ya 46 aliyofunga jana katika sare ya 2-2 na Bayern Munich katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao ya Bayern Munich yalifungwa na Joshua Kimmich dakika ya tatu na James Rodriguez dakika ya 63 na sasa Real Madrid inakwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kushinda 2-1 Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Prostitutes, police charges, public sex acts: Incredible sordid truth about
the NFL 'love boat' scandal... amid Vrabel-Russini drama
-
While the controversy surrounding Vrabel and Russini has captivated social
media over the last month, it's far from the first time that an illicit
nautical...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment