Wachezaji wa Barcelona wakimrusha juu mkongwe, Andres Iniesta Lujan katika sherehe za kumuaga jana baada ya mechi ya La Liga dhidi ya Real Sociedad Uwanja wa Camp Nou wakishinda 1-0. Iniesta mwenye umri wa miaka 34 sasa anaondoka Barca baada ya miaka 22 tangu ajiunge nayo mwaka 1996 akiwa kijana mdogo akianzia akademi la La Masia kabla ya kupandishwa kikosi cha kwanza mwaka 2002 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Benue killings: Nigeria unprepared for violence – Seriake Dickson
-
The Senator representing Bayelsa West, Seriake Dickson, says Nigeria is not
prepared for the kind of violence being meted out to its citizens. Speaking
a...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment