Mshambuliaji wa Manchester United, Alexis Sanchez akipongezwa na mchezaji mwenzake, Matteo Darmian baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 18 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Real Madrid kwenye mchezo wa kirafiki wa Mabingwa wa Kimataifa kujiandaa na msimu Uwanja wa Hard Rock mjini Miami Gardens, Florida, Marekani. Bao la pili la United lilifungwa na Ander Herrera dakika ya 27, wakati bao la Real Madrid limefungwa na Karim Benzema dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bournemouth stars involved in nasty head clash in opening minutes of Aston
Villa game - leaving one bloodied and the other concussed - as fans fume
after player is allowed to continue
-
Bournemouth's Premier League clash at Aston Villa saw a lengthy break in
play during the first half after a worrying clash of heads between two of
the visi...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment