Edinson Cavani akishangilia baada ya kuifungia bao la kusawazisha Paris Saint-Germain kwa penalti dakika ya 71 ikitoa sare ya 1-1 na wenyeji, Strasbourg kwenye mchezo wa Ligue !, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Meinau. Bao la Strasbourg lilifungwa na Kenny Lala kwa penalti pia dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United 'set to hold talks with European giants' TODAY over Jadon Sancho
deal - as Red Devils try to move on outcast this summer
-
The Red Devils are looking to offload Sancho after Chelsea paid a £5million
fee at the end of his loan to escape their £25m obligation to sign him.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment